Skip to content
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Portal
đŸŽ¯
Dira na Dhima ya JKT
Vision & Mission Statement
â–ŧ
Malengo ya Kimkakati
đŸ‘ī¸
Dira (Vision)
Kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa, hatimaye Tanzania iwe ni jamii yenye nidhamu, umoja, uzalendo, undugu, ukakamavu na kupenda kazi.
🚀
Dhima (Mission)
Kuwalea vijana wa Tanzania, ili kuwajengea nidhamu, uzalendo, ukakamavu na kuwafundisha ujuzi hatimaye kuchangia katika ulinzi wa Taifa na maendeleo ya kiuchumi.
📋
Majina ya Waliochaguliwa JKT
Form Six Selection Lists
â–ŧ
Mujibu wa Sheria Selection Links
📂
Form Six Selection Releases
Download official PDF lists from JKT portal
â›ē
Vikosi na Makambi JKT
Kambi za Mafunzo nchini Kote
â–ŧ
Orodha ya Vikosi na Mikoa Vilipo
đŸ›Ąī¸
Makao Mkuu ya JKT
Dodoma
đŸŽ–ī¸
Bulombola JKT
Kigoma
đŸŽ–ī¸
Rwamkoma JKT
Mara
đŸŽ–ī¸
Msange JKT
Tabora
đŸŽ–ī¸
Kanembwa JKT
Kibondo-Kigoma
đŸŽ–ī¸
Mtabila JKT
Kasulu-Kigoma
đŸŽ–ī¸
Mpwapwa JKT
Dodoma
đŸŽ–ī¸
Kibiti JKT
Pwani
đŸŽ–ī¸
Mgulani JKT
Dar es Salaam
đŸŽ–ī¸
Ruvu JKT
Pwani
đŸŽ–ī¸
Oljoro JKT
Arusha
đŸŽ–ī¸
Makutupora JKT
Dodoma
đŸŽ–ī¸
Mgambo JKT
Tanga
đŸŽ–ī¸
Mbweni JKT
Dar es Salaam
đŸŽ–ī¸
Chita JKT
Morogoro
đŸŽ–ī¸
Maramba JKT
Tanga
đŸŽ–ī¸
Makuyuni JKT
Arusha
đŸŽ–ī¸
Mafinga JKT
Iringa
đŸŽ–ī¸
Mlale JKT
Songea-Ruvuma
đŸŽ–ī¸
Nachingwea JKT
Lindi
đŸŽ–ī¸
Itende JKT
Mbeya
đŸŽ–ī¸
Itaka JKT
Songwe
đŸŽ–ī¸
Luwa JKT
Sumbawanga-Rukwa
đŸŽ–ī¸
Milundikwa JKT
Sumbawanga-Rukwa
đŸŽ–ī¸
Chuo cha Uongozi JKT
Kimbiji-Dar es Salaam
đŸ‘Ĩ
Makundi na Masharti
Kujitolea na Mujibu wa Sheria
â–ŧ
Miongozo na Masharti ya Uandikishaji
🤝
Vijana wa Kujitolea (Mkataba wa Miaka 2)
Masharti: Raia wa Tanzania, Umri miaka 18-23, elimu ya darasa la saba na kuendelea, asiwe ameoa/kuolewa, tabia njema, na utayari wa kufuata sheria zote za kijeshi bila utoro au makosa ya kinidhamu.
âš–ī¸
Vijana wa Mujibu wa Sheria (Miezi 3)
Masharti: Raia wa Tanzania, Umri miaka 18-35, wahitimu wa kidato cha sita (Form Six) na kuendelea, tabia njema, na utayari wa kufuata nidhamu ya kijeshi kambini bila utoro.
📝
Utaratibu wa Kujiunga na Usaili
Jinsi ya Kuwasilisha Maombi
â–ŧ
Hatua za Usaili Mikoani na Wilayani
â„šī¸
Uandikishaji Mikoani
JKT hutenga nafasi na kutuma barua kwa Wakuu wa Mikoa, ambao huzigawa kwenye Wilaya, Tarafa, Kata na Vijiji. Matangazo hubandikwa kwenye mbao za matangazo za wilaya na kutangazwa kwenye vyombo vya habari. Usaili wa awali husimamiwa na Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya na Mikoa, kabla ya kuhakikiwa na Maafisa kutoka Makao Makuu ya JKT.